MASHINDANO YA FOOSBALL
HEINEKEN NA EATV FULL SHANGWE
Foosball ni mchezo ambao kampuni ya Heineken inajitahidi kufahamisha umma iliuweze kuzoeleka zaidi
*****************************************
Picha za matukio mbalimbali yaliyojiri siku ya jumamosi kwenye Media Day 2013 viwanja vya leaders Club jijini Dar es salaam, nakuhusisha waandishi wa habari kutoka vyombo vyote hapa nchini
*********************************************
BAADHI YA WAFANYAKAZI WA IPP NA WASANII WALIO UDHURIA HAFLA YA CHAKULA KWA WALEMAVU DIAMOND JUBILEE
******************************************
WAKAZI WA MBEZI MAJENGO MAPYA WALIOBOMOLEWA NYUMBA ZAO LEO.
7. 1.2013
Picha zote kwa msaada wa
Kijakazi Yunus&Samson Charles
Posted on . Jan. 7.2013
By: Loyce Joseph
********************************************
Katibu mkuu wa chama cha Democrasia na Maendeleo CHADEMA Mhe. Wilbroad Slaa akiwa na baadhi ya waandaani na watangazaji wa kipindi cha HotMix kinacho rushwa na EATV
********************************************
Picha nne ziki muonyesha CEO wa Blog ya black touchez @joachimjunior.blogspot.com, Frank Joachim baada ya kuhitimu masomo yake ya Uandishi wa Habari katika chuo cha Habari na utangazaji Royal (Royal College of Tanzani)
Hongera mdogo wangu Mungu atakupa ujasiri wakupambana na maadui wa fani ya Habari TZ
********************************************
PICHA ZA LULU LEO AKIWA MAHAKAMA YA KISUTU JIJINI DAR ES SALAAM
HEINEKEN NA EATV FULL SHANGWE
kushoto ni Salama Jabir akicheza Follsball, wengine ni Abdala Ngali |
Kutoka Kushoto ni Basilisa John mtangazaji wa Ujenzi, Tanzania Heineken Maneger Uche Unigwe, watatu ni Halima Fready muandaaji wa kipindi cha 5 CELECT na Kijakazi Yunus muandaaji wa Hotmix EATV |
kutoka Kushoto ni Iyan Dialo mtangazaji wa Ea Break Fast, katikati ni Loyce Joseph Researcher wa Eatv pamoja na Head of Programing wa EARADIO bwana Nasser Kingu |
aliye simama ni Allan Lucky akitoa burudani |
*****************************************
Picha za matukio mbalimbali yaliyojiri siku ya jumamosi kwenye Media Day 2013 viwanja vya leaders Club jijini Dar es salaam, nakuhusisha waandishi wa habari kutoka vyombo vyote hapa nchini
*********************************************
BAADHI YA WAFANYAKAZI WA IPP NA WASANII WALIO UDHURIA HAFLA YA CHAKULA KWA WALEMAVU DIAMOND JUBILEE
Wakwanza Kutoka kushoto ni Happy Shame Afisa masoko wa EATV, wapili ni Anna Peter ,Coletha Reymond , nyuma mkono wa kulia ni Isaac Lukando na Steve Kafire wote watangazaji wa EA RADIO |
Irene Tiliya na Loyce Joseph wa Eatv |
Wasanii Diamond Plantnum na Dully Sykes, nao walijumuika na walemamuzu katika hafla hiyo |
Profesa Jay na Lady Jay Dee nao walikuwepo |
Profesa Jay |
******************************************
WAKAZI WA MBEZI MAJENGO MAPYA WALIOBOMOLEWA NYUMBA ZAO LEO.
7. 1.2013
Picha zote kwa msaada wa
Kijakazi Yunus&Samson Charles
Posted on . Jan. 7.2013
By: Loyce Joseph
********************************************
Katibu mkuu wa chama cha Democrasia na Maendeleo CHADEMA Mhe. Wilbroad Slaa akiwa na baadhi ya waandaani na watangazaji wa kipindi cha HotMix kinacho rushwa na EATV
********************************************
Picha nne ziki muonyesha CEO wa Blog ya black touchez @joachimjunior.blogspot.com, Frank Joachim baada ya kuhitimu masomo yake ya Uandishi wa Habari katika chuo cha Habari na utangazaji Royal (Royal College of Tanzani)
Hongera mdogo wangu Mungu atakupa ujasiri wakupambana na maadui wa fani ya Habari TZ
********************************************
PICHA ZA LULU LEO AKIWA MAHAKAMA YA KISUTU JIJINI DAR ES SALAAM
***********************************************************************
PICHA YA WIKI
Bwana na Bibi, Emanuel Mwangosi, mara baada ya kufunga ndoa katika kanisa la Agape jijini Mbeya mwanzoni mwa wiki hii
Bwana harusi, alipata ajali siku ya kuamkia Ndoa yake nakulazimika kufungandoa hivyo hivyo,
Picha hii imekuwa ya Wiki baada ya ku make headline kwenye mitandao mbalimbali na magazeti tofauti nchini.
******************************************************************************
Picha Tano zikimuonyesha Miss Tanzania 2012. Prigitte Alfred akipokea gari aina ya Noah aliloshinda baada ya kuibuka kidedea miongoni mwa walimbwende kibao na kutwaa taji la Miss Tanzania 2012
PICHA YA WIKI
Bwana na Bibi, Emanuel Mwangosi, mara baada ya kufunga ndoa katika kanisa la Agape jijini Mbeya mwanzoni mwa wiki hii
Bwana harusi, alipata ajali siku ya kuamkia Ndoa yake nakulazimika kufungandoa hivyo hivyo,
Picha hii imekuwa ya Wiki baada ya ku make headline kwenye mitandao mbalimbali na magazeti tofauti nchini.
******************************************************************************
Picha Tano zikimuonyesha Miss Tanzania 2012. Prigitte Alfred akipokea gari aina ya Noah aliloshinda baada ya kuibuka kidedea miongoni mwa walimbwende kibao na kutwaa taji la Miss Tanzania 2012
...........................................................................
Adrian Atokelezea ndani ya Campus Vision
Picha za mtangazaji wa kipindi cha HotMix
Adrian Hillary Stepp. kinacho rushwa na EATV, akiwa katika pozi muda mfupi kabla ya kuanza kipindi.
................................................................................
Timothy Chelula,baada ya kufunga ndoa katika kanisa lamakuburi
..................................................................................................................
.......................................................................................................................
Nifull kutokelezea, Diana Benjamin wa pande za Bunju alituma picha ambazo zinamuonyesha akitokelezea katika matukio mbalimbali over the weekend
eti alikuwa kwenye kipaimara cha baba mdogo wake Hance Mbangwa huko Bunju
hapa kapozi na mdogo wake baatimbaya ajanitajia jinalake
mtoto anamapoz , alininong'oneza eti anataka kuwa bonge la model
si mmecheki wenyewe mimi sisemi sana
duh huyu mtoto kafunika, weekend yake ilikuwa saaaafi sana
EmoticonEmoticon